• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi na Awali
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Maendeleo ya Jamii,
      • Mipango na Uratibu
    • Kitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI NANE YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI NNE ZAIDI NA KUTOA MAELEKEZO.

Tuma: October 26th, 2022

Kamati ya fedha, uongozi na mipango robo ya kwanza 2022/2023 yatembelea miradi 8 inayotekelezwa ndani ya halmashauri ya wilaya ya Tarime kuanzia tarehe 24/10/2022 hadi tarehe 25/10/2022.

Ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mheshimiwa SIMION KILES SAMWEL, Kamati imetembelea jumla ya miradi 8, ambapo miradi 3 inaendelea na ujenzi na miradi 5 ipo katika hatua ya ukamilishaji, hadi kukamilika kwa miradi yote nane itagharimu jumla ya shilingi  4,381,000,000.00.

Miradi iliyotembelewa ni:

  1. Ujenzi wa Jengo la Utawala Nyamwaga
  2. Ujenzi wa Nyumba ya kuishi Mkurugenzi Mtendaji ipo Nyamwaga
  3. Ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi (ICU) na ujenzi wa jengo moja lenye nyumba tatu za kuishi watumishi wa Afya Hospitali ya Nyamwaga.
  4. Ujenzi wa jengo la nyumba mbili za kuishi watumishi katika shule ya sekondari Matongo.
  5. Ukamilishaji wa zahanati katika kijiji cha Kangaliani.
  6. Ujenzi wa shule ya Sekondari mpya Kata ya Sirari.
  7. Ukamilishaji wa zahanati katika kijiji cha Turugeti.
  8. Ujenzi wa Kituo cha Afya Mtana     

Kwa kila mradi Kamati ilifika kwenye eneo la mradi na kujionea uhalisia na kutoa mapendekezo, ushauri na maoni ya kamati kwa lengo la kuhimiza wajenzi na wasimamizi  kutekeleza mradi kwa muda uliopangwa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 04, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 23, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI III August 23, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III August 23, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • NAIBU WAZIRI TAMISEMI MHE. Dkt. FESTO JOHN DUGANGE (MB) AMEIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA TARIME KWA UJENZI WA SHULE MPYA YA BUKIRA.

    January 16, 2023
  • NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI Mhe. SILINDE APONGEZA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA TARIME DC, ATAKA MAENEO MENGINE KUIGA MFANO.

    November 27, 2022
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI NANE YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI NNE ZAIDI NA KUTOA MAELEKEZO.

    October 26, 2022
  • MKAKATI WA KITAIFA WA KUIMARISHA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WAZINDULIWA

    September 26, 2022
  • Angalia Vyote

Video

NAIBU WAZIRI TAMISEMI AIPONGEZA TARIME VIJIJINI KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA UJENZI WA MADARASA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • eMrejesho
  • strategic plan
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • Muongozo wa Mtumiaji Mfumo wa kibali cha kusafiri

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Taarifa za mshahara
  • Mfumo wa TANePS
  • Sajili mali iliyopotea

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa