• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi na Awali
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Maendeleo ya Jamii,
      • Mipango na Uratibu
    • Kitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MKUU WA MKOA WA MARA AWAPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME KWA KUTII AGIZO HARAKA LA KUHAMIA NYAMWAGA

Tuma: November 1st, 2019

MKUU WA MKOA WA MARA AWAPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME KWA KUTII AGIZO HARAKA LA MHE DK. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUHAMIA NYAMWANGA.

Kufuatia agizo la Rais wa awamu ya tano Dk.John Pombe Joseph Magufuri kuagiza halmashauri zote kuhama mjini na kwenda maeneo ya vijijini (katika maeneo yao ya utawala), alipokuwa katika ziara ya kikazi mkoani Rukwa katika wilaya ya sumbawanga mji mdogo wa Lahela ili kuhakikisha wanatoa huduma kwa wananchi wanyonge.

Naye mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya tarime Ndugu. Apoo Castro Tindwa kwa kushirikiana na madiwani wa halmashauli hiyo wameafikiana kuhama haraka kutoka katika halmashauri ya mji wa Tarime na kwenda katika eneo lililopangwa kwa ajili ya halmashauri hiyo ikiwa ni kati ya halmashauri 31 ambazo azipo katika maeneo ya kiutawala.

Hata hivyo halmashauri ya wilaya ya Tarime tayari imeshahamia katika kijiji cha Nyamwaga Kata ya Nyamwaga ndani ya majengo ya ofisi ya tarafa na kijiji kwa muda, wakisubiria kujengwa kwa ofisi zake katika eneo lililotengwa kwa ajili ya makao makuu ya Halmashauri ya wilaya Tarime Nyamwaga.

Katika ziara yake ya kutembelea na kukagua makao mapya ya Halmashauri ya wilaya ya Tarime Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Adam Malima amewapongeza halmashauri ya wilaya ya Tarime kwa kutii agizo la Mhe DK. John Pombe Joseph Magufuri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuhamia Nyamwanga na kuhakikisha wanatoa huduma kwa wananchi wanyonge,

Wakati wa kikao chake na waheshimiwa madiwani na wakuu wa idara kilichofanyika katika Ukumbi wa shule ya Sekondari JK Nyerere iliyopo Nyamwaga, Mhe. Adam Malima aliwapatia nafasi waheshiwa madiwani kutoa maoni juu ya hatua ya baadhi ya kata za halmashauri ya wilaya ya Tarime kuhamia Halmashauri ya mji wa Tarime, Katika maoni yao waheshimiwa madiwani walimpongeza Mkuu wa Mkoa Mara kwa wazo la kuhamisha kata nane (8) za Sirari,Regicheri,Mwema,Susuni,Bumera,Komaswa,Manga na Kiore kwa lengo la kuwaondolea wananchi wanyonge adha ya umbali wa kufuata huduma makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Tarime yaliyopo Nyamwaga kufuatia jogorafia iliyopo.

Matangazo ya Kawaida

  • ORODHA YA VITAMBULISHO VYA WATUMISHI WA MAKAO MAKUU March 20, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA (DAFTARI LA WAPIGA KURA). April 19, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA February 25, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZIYA MKATABA KWA MADEREVA. May 30, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI

    February 20, 2025
  • TANZIA

    March 15, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MARA ATEMBELEA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME

    February 26, 2025
  • MHE. EVANCE MTAMBI AFANYA MKUTANO NA WANANCHI WA KATA YA MWEMA NA RWGICHERI JUU YA CHANGAMOTO YA ARDHI

    February 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Maadhimisho ya Nanenane, 2024
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • eMrejesho
  • Dirisha la Watumishi
  • Taarifa za Mishahara
  • NeST-Mfumo wa kielektroni wa manunuzi Tanzania
  • Mfumo wa Usajili Mali iliyopotea
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa wafanyabiashara wadogowadogo
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • STAFF ASSESSMENT

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Magazeti mbalimbali
  • Jarida la Tarimedc
  • MWALIMU WETU MITIHANI MBALIMBALI

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa