• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi na Awali
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Maendeleo ya Jamii,
      • Mipango na Uratibu
    • Kitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MWENYEKITI UVCCM AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME

Tuma: December 1st, 2021

Leo tarehe 1/12/2021 MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi  Wilaya ya Tarime (UVCCM) Mkoa wa Mara, Mhe, Godfrey Francis  akiwa katika siku ya pili ya ziara pamoja na viongozi wengine wa umoja huo, wakitembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa madarasa 122 unaoendelea Halmashauri ya Wilaya ya Tarime chini ya Mpango wa Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19.

Katika ziara hiyo ya siku mbili, Mwenyekiti wa UVCCM Tarime amepongeza hatua nzuri ya ujenzi iliyofikiwa katika Shule za Sekondari Bwiregi, Ingwe,  Nyabichune, Nyamongo, Matongo, Genge, Kibasuka, Regicheri , Itiryo na Kangaliani.

Aidha, ametoa maelekezo ya kuongeza kasi ya ujenzi  katika maeneo yote aliyopitia ili kukamilisha ujenzi huo kwa kuzingatia tarehe iliyowekwa kitaifa.

Mwenyekiti wa UVCCM Tarime,  ametoa rai kwa Wananchi, Madiwani na viongozi wa Serikali katika ngazi ya Vijiji na Mitaa kujitokeza kufuatilia na kusimamia miradi hiyo kwa karibu ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora.

 Kaimu Mkurugenzi  Mtendaji  Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Ndugu FREDELICK  D MALYA   amemtoa hofu Mwenyekiti wa UVCCM Tarime kuwa ujenzi wa madarasa utakamilika kwa wakati kutokana na usimamizi na ufuatiliaji mzuri unaofanywa na viongozi na pia amemuhakikishia Mwenyekiti wa UVCCM Tarime kuwa maelekezo na ushauri uliotolewa utafanyiwa kazi kwa ufuatiliaji zaidi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI February 04, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 23, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI III August 23, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III August 23, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • NAIBU WAZIRI TAMISEMI MHE. Dkt. FESTO JOHN DUGANGE (MB) AMEIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA TARIME KWA UJENZI WA SHULE MPYA YA BUKIRA.

    January 16, 2023
  • NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI Mhe. SILINDE APONGEZA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA TARIME DC, ATAKA MAENEO MENGINE KUIGA MFANO.

    November 27, 2022
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI NANE YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI NNE ZAIDI NA KUTOA MAELEKEZO.

    October 26, 2022
  • MKAKATI WA KITAIFA WA KUIMARISHA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WAZINDULIWA

    September 26, 2022
  • Angalia Vyote

Video

NAIBU WAZIRI TAMISEMI AIPONGEZA TARIME VIJIJINI KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA UJENZI WA MADARASA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • eMrejesho
  • strategic plan
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • Muongozo wa Mtumiaji Mfumo wa kibali cha kusafiri

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Taarifa za mshahara
  • Mfumo wa TANePS
  • Sajili mali iliyopotea

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa