• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi na Awali
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Maendeleo ya Jamii,
      • Mipango na Uratibu
    • Kitengo
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

NAIBU WAZIRI TAMISEMI ATOA ONYO KALI WANAOVAMIA MAENEO YA TAASISI ZA KISERIKALI.

Tuma: January 5th, 2019

Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za mikoa Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mwita Waitara amewataka wananchi wote waliovamia maeneo ya Tasisi za Serikali kupisha Mapema ikiwa ni pamoja na kuondoka mara moja Maeneo yalitengwa kwa ajili ya Miundombinu ya Barabara.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri huyo wa Tamisemi kipindi akiongea na wananchi wa kijiji cha Kangariani kata ya Itiryo Wilayani Tarime Mkoa wa Mara.

Waitara alisema kuwa Wananchi wamekuwa wakivamia maeneo ya taasisi za kiserikali hivyo sasa amewataka wananchi wote walivamia maeneo hayo kupisha wenyewe kabla ya serikali kuwatoa.

“Wananchi wamevamia sana maeneo hayo ya serikali mpaka mgonjwa hawezi kukimbizwa hospitali kwa sababu ya ufinyo wa barabara, sasa watendaji wa serikali fanyeni kazi ya kupima taasisi za serikali” alisema Waitara.

Pia Waitara alisitiza Viongozi kusimamia vizuri suala la Maendeleo katika ujenzi wa Miundombinu ya Shule za msingi na sekondari na siyo kuingiza suala la Ukabira, itikadi za vyama katika Maendeleo ambapo amechangia kiasi cha shilingi Millioni Moja kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Kangariani inayojengwa katika kijiji alichozaliwa.

Wakibainisha Changamoto wananchi wa kijiji cha Kangariani walidai kuwa suala la upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule za sekondari ni kubwa pamoja na upatikanaji wa Maji safi na salama.

Apoo Castro Tindwa ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Viijijini akijibu hoja za Wananchi mbele ya Naibu waziri alisema kuwa tayari Halmashauri hiyo imetenga Milioni160 kwa ajili ya kukarabati vyumba hivyo vya madarasa ili kupunguza changamoto ya Vyumba vya madarasa

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga alisema kuwa ameamua kuhamasisha Wananchi ili waweze kujenga madarasa wenyewe ili ifikapo Mwezi wa pili wanafunzi watakao chaguliwa kwa awamu ya pili waweze kupata elimu.

Matangazo ya Kawaida

  • ORODHA YA VITAMBULISHO VYA WATUMISHI WA MAKAO MAKUU March 20, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA (DAFTARI LA WAPIGA KURA). April 19, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA February 25, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZIYA MKATABA KWA MADEREVA. May 30, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI

    February 20, 2025
  • TANZIA

    March 15, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MARA ATEMBELEA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME

    February 26, 2025
  • MHE. EVANCE MTAMBI AFANYA MKUTANO NA WANANCHI WA KATA YA MWEMA NA RWGICHERI JUU YA CHANGAMOTO YA ARDHI

    February 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Maadhimisho ya Nanenane, 2024
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • eMrejesho
  • Dirisha la Watumishi
  • Taarifa za Mishahara
  • NeST-Mfumo wa kielektroni wa manunuzi Tanzania
  • Mfumo wa Usajili Mali iliyopotea
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa wafanyabiashara wadogowadogo
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • STAFF ASSESSMENT

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Magazeti mbalimbali
  • Jarida la Tarimedc
  • MWALIMU WETU MITIHANI MBALIMBALI

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa