• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Mali Asili
    • Kitengo
      • Teknolojia ya Habari na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KATIBU MKUU TAMISEMI MHE. ENG JOSEPH NYAMHANGA AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME.

Tuma: April 23rd, 2020

Katibu Mkuu Tamisemi Mhe. Eng Joseph Nyamhanga katika ziara yake halmashauri ya wilaya ya Tarime ya kutembelea miradi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kukagua makao mapya ya Halmashauri ya wilaya ya Tarime, amewapongeza halmashauri ya wilaya ya Tarime kwa kutii agizo la Mhe DK. John Pombe Joseph Magufuri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuhamia Nyamwanga na kuhakikisha wanatoa huduma kwa wananchi wanyonge,

Katibu Mkuu amesema kuwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe DK. John Pombe Joseph Magufuri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejidhatiti na kuhakikisha kuwa mwananchi wote wanapata huduma iliyobora na kwa urahisi, hivyo serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1 za kitanzania kwa halmashauri zaidi ya 30 ambapo zimeagizwa kuhakikisha zinaanza kujenga majengo ya utawala kwa ajili ya kuboresha huduma kwa wananchi

Aliipongeza Halmashauri ya wilaya ya Tarime kwa kuonesha utayari katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona wakati alipotembelea, kuangalia na kukagua zahanati ya nyamongo iliyotengwa kwa utayari wa kupokea washukiwa wa ugonjwa wa corona endapo atabainika kuwepo mshukiwa. Na kuahidi kuangalia namna ya kuipatia hadhi ya kuwa kituo cha Afya kwa kuwa miundombinu yake katika zahanati hiyo inajitosheleza.

Vilevile akaonesha kufurahishwa na umoja wa viongozi kwa jinsi wanavyofanyakazi kwa pamoja.

Matangazo ya Kawaida

  • MAELEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME December 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAHILI UANDIKISHAJI NA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA July 30, 2019
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO August 02, 2019
  • TANGAZO KWA UMMA November 01, 2019
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA ENEO LA KUJENGA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME KIJIJI CHA NYAMWAGA.

    February 17, 2021
  • Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tarime kulipa deni la sh milioni 185 MSD.

    February 03, 2021
  • Mafunzo ya semina kwa waheshimiwa Madiwani kuwajengea uwezo wa kusimamia uwendeshaji wa halmashauri.

    January 19, 2021
  • MAAGIZO YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ALIYOYATOA WAKATI WA ZIARA YAKE WILAYANI TARIME YATEKELEZWA KWA KISHINDO.

    May 21, 2020
  • Angalia Vyote

Video

MBUNGE WA TARIME VIJIJINI AWATUA MZIGO WA MICHANGO WANANCHI WAKE,AMWAGA SARUJI MIFUKO 660
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • strategic plan
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • Muongozo wa Mtumiaji Mfumo wa kibali cha kusafiri

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Taarifa za mshahara
  • Mfumo wa TANePS
  • Sajili mali iliyopotea

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa