- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo wa Taasisi
- Divisheni
-
Kitengo
- Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
- Kitengo cha Huduma za Kisheria
- Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
- Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
- Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
- Kitengo cha Fedha na Hesabu
- Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
- Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
- Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma Zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Katibu Mkuu Tamisemi Mhe. Eng Joseph Nyamhanga katika ziara yake halmashauri ya wilaya ya Tarime ya kutembelea miradi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kukagua makao mapya ya Halmashauri ya wilaya ya Tarime, amewapongeza halmashauri ya wilaya ya Tarime kwa kutii agizo la Mhe DK. John Pombe Joseph Magufuri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuhamia Nyamwanga na kuhakikisha wanatoa huduma kwa wananchi wanyonge,




