• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Mali Asili
    • Kitengo
      • Teknolojia ya Habari na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

NAIBU WAZIRI TAMISEMI ATOA ONYO KALI WANAOVAMIA MAENEO YA TAASISI ZA KISERIKALI.

Tuma: January 5th, 2019

Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za mikoa Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mwita Waitara amewataka wananchi wote waliovamia maeneo ya Tasisi za Serikali kupisha Mapema ikiwa ni pamoja na kuondoka mara moja Maeneo yalitengwa kwa ajili ya Miundombinu ya Barabara.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri huyo wa Tamisemi kipindi akiongea na wananchi wa kijiji cha Kangariani kata ya Itiryo Wilayani Tarime Mkoa wa Mara.

Waitara alisema kuwa Wananchi wamekuwa wakivamia maeneo ya taasisi za kiserikali hivyo sasa amewataka wananchi wote walivamia maeneo hayo kupisha wenyewe kabla ya serikali kuwatoa.

“Wananchi wamevamia sana maeneo hayo ya serikali mpaka mgonjwa hawezi kukimbizwa hospitali kwa sababu ya ufinyo wa barabara, sasa watendaji wa serikali fanyeni kazi ya kupima taasisi za serikali” alisema Waitara.

Pia Waitara alisitiza Viongozi kusimamia vizuri suala la Maendeleo katika ujenzi wa Miundombinu ya Shule za msingi na sekondari na siyo kuingiza suala la Ukabira, itikadi za vyama katika Maendeleo ambapo amechangia kiasi cha shilingi Millioni Moja kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Kangariani inayojengwa katika kijiji alichozaliwa.

Wakibainisha Changamoto wananchi wa kijiji cha Kangariani walidai kuwa suala la upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule za sekondari ni kubwa pamoja na upatikanaji wa Maji safi na salama.

Apoo Castro Tindwa ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Viijijini akijibu hoja za Wananchi mbele ya Naibu waziri alisema kuwa tayari Halmashauri hiyo imetenga Milioni160 kwa ajili ya kukarabati vyumba hivyo vya madarasa ili kupunguza changamoto ya Vyumba vya madarasa

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga alisema kuwa ameamua kuhamasisha Wananchi ili waweze kujenga madarasa wenyewe ili ifikapo Mwezi wa pili wanafunzi watakao chaguliwa kwa awamu ya pili waweze kupata elimu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI. June 02, 2018
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ULIOFANYIKA TAREHE 01/06/2018 HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME. June 01, 2018
  • KUITWA KWENYE USAHILI TAREHE 01/06/2018 HADI 02/06/2018 May 24, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Machi, 2018 March 26, 2018
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME NDUGU. APOO CASTRO TINDWA AKIONGEA NA WATUMISHI WAKE KWENYE KIKAO CHA KUFUNGUA MWAKA 2019 KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI TAREHE 14/01/2019.

    January 14, 2019
  • NAIBU WAZIRI TAMISEMI ATOA ONYO KALI WANAOVAMIA MAENEO YA TAASISI ZA KISERIKALI.

    January 05, 2019
  • MTANDAO TGNP WATOA MSAADA WA VIFAA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME.

    January 07, 2019
  • WAKUU WA MIKOA TANZANIA, KENYA WAHAKIKI ALAMA ZINAZOWEKWA ZA KIMATAIFA

    April 21, 2018
  • Angalia Vyote

Video

Simulizi za mabadiliko Shule ya msingi Ng'ereng'ere
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • strategic plan

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • E-Government Agency
  • watumishi portal
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Taarifa za mshahara

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa