• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Mail za Ofisi |
    • Malalamiko |
TARIME DISTRICT COUNCIL
TARIME DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Mali Asili
    • Kitengo
      • Teknolojia ya Habari na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Shughuli za Kilimo
    • Shughuli za Ufugaji
    • Shughuli za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango & Utawala
      • Elimu, Afya & Maji
      • Mazingira, Ujenzi & Uchumi
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Taarifa
    • Taratibu Mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za Shughuli Mbalimbali
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MKUU WA MKOA WA MARA AHIMIZA MALIPO YA CSR KUTUMIA MFUMO RASMI WA KISERIKALI.

Tuma: July 13th, 2022

MKUU wa mkoa wa Mara Ali Hapi ameitaka Halmashauri ya Tarime Dc kutumia mfumo rasmi wa kiserikali katika malipo ya CSR ili kuepusha na kuondokana na ubadhilifu wa fedha za uma na kukwama kwa miradi husika.

 “Pesa zote za CSR ni mali ya uma sio za mtu binafsi hivyo utaribu rasmi wa kiserikali ufatwe”.

       Aliyasema hayo katika mkutano wa baraza la madiwani la kujadili hoja za Mkaguzi na Mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali  (CAG) kwa mwaka 2020/2021 uliofanyika katika ukumbi wa J.K Nyerere Nyamwaga wiki hii.

        Pia amekemea tabia ya ubadhilifu wa pesa za uma na kutokamilika kwa miradi kwa wakati kama ujenzi wa wa zahanati ya Nyagisya kata ya Kyore ambapo imebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) kupotea kwa kiasi cha Tsh. milioni 70,323,200/= kutoka kwenye akaunti ya kijiji cha Nyagisya na kuitaka Halmashauri kujikita katika mipango ya muda mrefu wa kukamilisha miradi.

      “Mkuu wa wilaya, Madiwani, Kamati ya Usalama simamieni utekelezaji wa miradi na pesa za uma na kuwafikisha wote kwenye vyombo vya sheria watakao bainika kufanya uovu maana ndio maelekezo ya serikali”.

Nao madiwani wameendelea kuishukuru serikali na kuaihidi usimamizi bora wa pesa za uma na kuhakikisha miradi inakamilika kwa muda na ubora.

     “Tumelipokea vyema swala la pesa kutoka serikali kuu au CSR kwenda moja kwa moja kwenye mradi husika kwenye kata au kijiji maana utapunguza upotevu wa pesa kiholela”. Alisema Amos Sagara diwani wa kata ya Sirari”.

      Hata hivyo Mkuu wa mkoa wa Mara amelipokea ombi la Halmashauri hiyo la matumizi ya Tsh bilioni 7.4 za CSR na kuipongeza Halmashauri ya Tarime DC kwa kuendelea kupokea hati safi mara (6) mfululizo kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka mwaka 2020/2021 na yote kuwa matunda ya Ushirikiano baina ya Wataalamu, Waheshimiwa Madiwani, Ofisi ya Mkuu wa wilaya na Ofisi ya Mkuu wa mkoa katika kuhakikisha Halmashauri inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu.

Matangazo ya Kawaida

  • ORODHA YA WAOMBAJI AJIRA ZA MUDA KWENYE SENSA YA WATU NA MAKAZI KWA MWAKA 2022. July 16, 2022
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI July 17, 2022
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA TARIME DC. July 28, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA MARA AHIMIZA MALIPO YA CSR KUTUMIA MFUMO RASMI WA KISERIKALI.

    July 13, 2022
  • MWENYEKITI UVCCM AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME

    December 01, 2021
  • KIKAO KAZI CHA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    October 20, 2021
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA ENEO LA KUJENGA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME KIJIJI CHA NYAMWAGA.

    February 17, 2021
  • Angalia Vyote

Video

MBUNGE WA TARIME VIJIJINI AWATUA MZIGO WA MICHANGO WANANCHI WAKE,AMWAGA SARUJI MIFUKO 660
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • eMrejesho
  • strategic plan
  • Mfumo wa Kibali cha kusafiri nje ya nchi
  • Muongozo wa Mtumiaji Mfumo wa kibali cha kusafiri

Viungio Vinavyoshabiana

  • Government portal
  • TAMISEMI
  • HALMASHAURI WILAYA TARIME.BLOG
  • Taarifa za mshahara
  • Mfumo wa TANePS
  • Sajili mali iliyopotea

Idadi ya waliotembelea tovuti kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 GWF zimehifadhiwa